Ngome ya mwisho ya Al-Shabaab kutekwa
Msemaji wa jeshi la Kenya Meja Emmanuel Chirchir anasema kuwa wanakaribia kuuteka mji wa bandarini wa Kismayo.
Meja Chirchir amekariri kuwa wapiganaji kuwa kundi la Al Shabaab ikiwa wataweza kujisalimisha watasamehewa
Kumekuwa na ripoti kuwa wapiganaji wa al-Shabaab wamenza kuutoroka
mji huo katika siku chache zilizopita baada ya kuzingirwa na majeshi ya
muungano wa Afrika kutoka pande zote
Mji huo ndio ngome ya mwisho ya Al-Shabaab, ambayo huitumia kwa kuingza silaha na zana za kivita kutoka nchi za kigeni.
Category:
0 comments