TAHADHARI: MITANDAO YA NGONO HUTUMIA PICHA ZAKO ZA FACEBOOK. JIHADHARI MAPEMA
Wakati msichana anapoweka picha ya faragha kwenye profile yake
inayoonesha mapaja yake ama viungo vingine vya siri na kusifiwa na
washkaji kwa comments kama ‘wewe ni mrembo sana’ ni bora akatambua pia
kuwa picha yake hiyo inaweza kuwa chakula kizuri kwa mitandao ya ngono,
kwa mujibu wa utafiti.
Kuna onyo kwamba unapoweka picha za aina hiyo kwenye mitandao ya
kijamii kama Facebook, kuna uwezekano mkubwa wa picha hizo kuchukuliwa
na kutumiwa kwenye ‘websites za ngono’.
Category: news
0 comments